e-Mail : info@azaniagroup.company
Call Us : 0710 111 112
Blog Update

AZANIA WASHINDI WA CONSUMER CHOICE AWARDS 2021.

Kampuni ya Azaniagroup yachaguliwa kuwa Washindi katika kipengele cha Detergent Manufacture of the Year katika tuzo za CONSUMER CHOICE AWARDS AFRICA kwa msimu huu wa mwaka 2021. Kampuni ya Azaniagroup imeendelea kutoa huduma iliyotukuka na kukidhi vigezo katika swala la ubora wa bidhaa zao.
Read more
Share this post

AZANIA TUPIGIE KURA KATIKA INSTAGRAM YETU.

Ndugu Mtanzania AZANIA GROUP, inayomilikiwa na Wazalendo wa kitanzania, Mwaka huu imependekezwa kushiriki kwenye tuzo za “CONSUMER CHOICE AWARD AFRICA” katika vipengele viwili: 1; _”Most Preferred Detergent Manufacturing of the Year” kupitia sabuni zetu za unga za MARHABA na KING LIMAU”. _ 2;”Most Preferred Food Product Manufacturing Company of the Year Kupitia unga wetu Bora...
Read more
Share this post

AZANIAGROUP YACHANGIA BIMA 200 KWA WATOTO YATIMA.

Kampuni ya Azaniagroup imewadhamini Ocean City Community Half Marathon,Kupitia harambee ya kuchangia watoto yatima 200 bima za afya Azania imeungana na Ocean City Community Half Marathon katika ukimbiaji na uhamasishaji wa mazoezi kwa afya ya kila Mtanzania na lengo na dhumuni ya Marathon iliyofanyika hivi leo tar 31-10-2021 katika viwanja vya Farasi/Masaki ni kuhimiza na...
Read more
Share this post

MARHABA 200GRM NI ZAIDI YA USAFI.

Je umejaribu kutumia sabuni ya Marhaba grm 200 inayopatikana madukani kote na Tanzania nzima kwa jumla na rejareja. Sabuni ya Unga ya kufulia ya Marhaba ya grm 200 inayopatikana Tanzania nzima kwa maduka madogo na makubwa na kwenye supermarket pia ni sabuni nzuri kwa matumizi ya kufulia isiyochubukua mikono na povu la kutosha na yenye...
Read more
Share this post

AZANIA KUWANIA TUZO ZA CONSUMER CHOICE AWARDS AFRIKA.

Katika mwaka mwingine 2021,Kampuni ya Azaniagroup inaendelea kuwashukuru na kuwathamini Watanzania wote na watumiaji wa bidhaa za Azania na sasa kwa pamoja,Tunawakaribisha watanzania wote katika kuipigia kura kupitia instagram page yao ya @azaniagroup baada ya msimu huu wa 2021 kuingia katika vipengele viwili vya ” MOST PREFERRED DETERGENT MANUFACTURING OF THE YEAR ” na ”...
Read more
Share this post

Azania Kwenye Mwanamke Fundi wa Futari.

Meneja Masoko Azaniagroup Mr.Joel Laiser aendelea kuipeperusha bendera ya Azania katika msimu wa Mwanamke Fundi wa Futari na hapa akiwa ndani ya Channel 10 akiongea na waandishi wa Habari juu ya uwepo wa Azaniagroup katika Sherehe za Mwanamke fundi wa Futari Tanzania ambapo kilele chake kitafanyika katika Viwanja vya Gongolamboto.
Read more
Share this post

Azaniagroup yakutana na Waandishi wa Habari kushukuru.

Kampuni ya Azaniagroup yatoa shukrani kwa watanzania wote kwa kuendelea kuwa kampuni namba 1 katika sekta ya uzalishaji chakula katika maonyesho ya 45 ya sabasaba. Meneja masoko Mr. Joel Laiser aongea na Waandishi wa Habari akishukuru na kuwasihi kwa kuwashauri watanzania kuendelea kutumia bidhaa yao namba moja kwa matumizi ya kila siku majumbani. Pia amesisitiza...
Read more
Share this post

Azania Yaendelea Kuvuka Mipaka Katika Kuwafikia Watanzania.

Kampuni ya Azaniagroup katika kuendelea na kuhakikisha inawafikia wateja wake kila kona ya Tanzania na Nchi zote za jirani imeendelea kujiimarisha katika sekta ya usafirishaji bidhaa. Azania imeongea gari za usafirishaji bidhaa zisizopungua 30 ili kufikia nchi zote za jirani kama vile Kenya,Uganda,Malawi,Burundi,Rwanda na nchi nyingine nyingi.
Read more
Share this post

Azania Fresh Gold Cooking Oil Uhakika wa Afya Yako.

Azania Fresh Gold Cooking Oil kutoka Azania ndio mafuta ya kupikia ya kwanza Tanzania yaliyochujwa mara tatu zaidi kwa ajili ya ulinzi wa afya na hayana lehemu. Mafuta ya Azania sasa yanapatikana Tanzania nzima kw jumla na rejareja katika ujazo tofauti tofautti kuanzia 1ltrs,3ltrs,5ltrs,10ltrs na 17kg. Kwa ulinzi na uhakika wa Afya yako tumia Azania...
Read more
Share this post

King Limau Nguvu ya Usafi.

Kampuni ya Azaniagroup katika kugusa Watanzania wote na kuweza kuwapatia bidhaa za uhakika King limau ni sabuni ya kipande ya grm 500 inayopatikana katika katika maduka ya jumla na rejareja na ambayo inakidhi mahitaji ya Watanzania wote.King limau grm 500 sasa inapatikana Tanzania nzima kwa jumla na rejareja.
Read more
Share this post