e-Mail : info@azaniagroup.company
Call Us : 0710 111 112

Category: blog

AZANIA GROUP LAUNCHES PREMIUM HOME FLOUR TO ADD VALUE AND CONVENIENCE TO ITS CONSUMERS

Azania Group, one of the leading staple food brands, launched a new top-of-the-market premium flour enticing its consumers to use whiter, softer, long shelf life premium flour in a wider range of recipes, Unveiling its completing new flour brand dubbed AZANIA – PREMIUM HOME FLOUR (PHF) ,a baking flour which is not only pure but...
Read more

Azania Supa Sembe

Azania tunanendelea kukupa kilicho bora zaidi, Azania Super Sembe. Azania Super sembe ni unga wa mahindi wenye virutubisho vingi, ladha nzuri na unapatikan kote madukani. 
Read more

Champion Bar Soap

Bar soap with enough foam to be used in washing clothes and even in washing dishes. Sabuni ya kipande yenye povu la kutosha utumika kwenye kufua nguo na hata kwenye kuosha viombo.
Read more

AZANIA WASHINDI WA CONSUMER CHOICE AWARDS 2021.

Kampuni ya Azaniagroup yachaguliwa kuwa Washindi katika kipengele cha Detergent Manufacture of the Year katika tuzo za CONSUMER CHOICE AWARDS AFRICA kwa msimu huu wa mwaka 2021. Kampuni ya Azaniagroup imeendelea kutoa huduma iliyotukuka na kukidhi vigezo katika swala la ubora wa bidhaa zao.
Read more

AZANIA TUPIGIE KURA KATIKA INSTAGRAM YETU.

Ndugu Mtanzania AZANIA GROUP, inayomilikiwa na Wazalendo wa kitanzania, Mwaka huu imependekezwa kushiriki kwenye tuzo za “CONSUMER CHOICE AWARD AFRICA” katika vipengele viwili: 1; _”Most Preferred Detergent Manufacturing of the Year” kupitia sabuni zetu za unga za MARHABA na KING LIMAU”. _ 2;”Most Preferred Food Product Manufacturing Company of the Year Kupitia unga wetu Bora...
Read more

MARHABA 200GRM NI ZAIDI YA USAFI.

Je umejaribu kutumia sabuni ya Marhaba grm 200 inayopatikana madukani kote na Tanzania nzima kwa jumla na rejareja. Sabuni ya Unga ya kufulia ya Marhaba ya grm 200 inayopatikana Tanzania nzima kwa maduka madogo na makubwa na kwenye supermarket pia ni sabuni nzuri kwa matumizi ya kufulia isiyochubukua mikono na povu la kutosha na yenye...
Read more

AZANIA KUWANIA TUZO ZA CONSUMER CHOICE AWARDS AFRIKA.

Katika mwaka mwingine 2021,Kampuni ya Azaniagroup inaendelea kuwashukuru na kuwathamini Watanzania wote na watumiaji wa bidhaa za Azania na sasa kwa pamoja,Tunawakaribisha watanzania wote katika kuipigia kura kupitia instagram page yao ya @azaniagroup baada ya msimu huu wa 2021 kuingia katika vipengele viwili vya ” MOST PREFERRED DETERGENT MANUFACTURING OF THE YEAR ” na ”...
Read more

Azania Kwenye Mwanamke Fundi wa Futari.

Meneja Masoko Azaniagroup Mr.Joel Laiser aendelea kuipeperusha bendera ya Azania katika msimu wa Mwanamke Fundi wa Futari na hapa akiwa ndani ya Channel 10 akiongea na waandishi wa Habari juu ya uwepo wa Azaniagroup katika Sherehe za Mwanamke fundi wa Futari Tanzania ambapo kilele chake kitafanyika katika Viwanja vya Gongolamboto.
Read more

Azaniagroup yakutana na Waandishi wa Habari kushukuru.

Kampuni ya Azaniagroup yatoa shukrani kwa watanzania wote kwa kuendelea kuwa kampuni namba 1 katika sekta ya uzalishaji chakula katika maonyesho ya 45 ya sabasaba. Meneja masoko Mr. Joel Laiser aongea na Waandishi wa Habari akishukuru na kuwasihi kwa kuwashauri watanzania kuendelea kutumia bidhaa yao namba moja kwa matumizi ya kila siku majumbani. Pia amesisitiza...
Read more

Azania Yaendelea Kuvuka Mipaka Katika Kuwafikia Watanzania.

Kampuni ya Azaniagroup katika kuendelea na kuhakikisha inawafikia wateja wake kila kona ya Tanzania na Nchi zote za jirani imeendelea kujiimarisha katika sekta ya usafirishaji bidhaa. Azania imeongea gari za usafirishaji bidhaa zisizopungua 30 ili kufikia nchi zote za jirani kama vile Kenya,Uganda,Malawi,Burundi,Rwanda na nchi nyingine nyingi.
Read more