e-Mail : info@azaniagroup.company
Call Us : 0710 111 112

Category: blog

Azaniagroup yakutana na Waandishi wa Habari kushukuru.

Kampuni ya Azaniagroup yatoa shukrani kwa watanzania wote kwa kuendelea kuwa kampuni namba 1 katika sekta ya uzalishaji chakula katika maonyesho ya 45 ya sabasaba. Meneja masoko Mr. Joel Laiser aongea na Waandishi wa Habari akishukuru na kuwasihi kwa kuwashauri watanzania kuendelea kutumia bidhaa yao namba moja kwa matumizi ya kila siku majumbani. Pia amesisitiza...
Read more

Azania Yaendelea Kuvuka Mipaka Katika Kuwafikia Watanzania.

Kampuni ya Azaniagroup katika kuendelea na kuhakikisha inawafikia wateja wake kila kona ya Tanzania na Nchi zote za jirani imeendelea kujiimarisha katika sekta ya usafirishaji bidhaa. Azania imeongea gari za usafirishaji bidhaa zisizopungua 30 ili kufikia nchi zote za jirani kama vile Kenya,Uganda,Malawi,Burundi,Rwanda na nchi nyingine nyingi.
Read more

Azania Fresh Gold Cooking Oil Uhakika wa Afya Yako.

Azania Fresh Gold Cooking Oil kutoka Azania ndio mafuta ya kupikia ya kwanza Tanzania yaliyochujwa mara tatu zaidi kwa ajili ya ulinzi wa afya na hayana lehemu. Mafuta ya Azania sasa yanapatikana Tanzania nzima kw jumla na rejareja katika ujazo tofauti tofautti kuanzia 1ltrs,3ltrs,5ltrs,10ltrs na 17kg. Kwa ulinzi na uhakika wa Afya yako tumia Azania...
Read more

King Limau Nguvu ya Usafi.

Kampuni ya Azaniagroup katika kugusa Watanzania wote na kuweza kuwapatia bidhaa za uhakika King limau ni sabuni ya kipande ya grm 500 inayopatikana katika katika maduka ya jumla na rejareja na ambayo inakidhi mahitaji ya Watanzania wote.King limau grm 500 sasa inapatikana Tanzania nzima kwa jumla na rejareja.
Read more
Unga wa ngano kutoka Azania HBF ( HOME BAKING FLOUR ) ndio unga wa ngano special kwa ajili ya matumizi ya mjumbani na kwa mapishi yanakuwa yahusisha familia HBF toka azania itakupatia matokeo sahihi na ya uhakika.Unga wa ngano wa HBF toka azania umeboreshwa kwenye muonekano wake na pia hata laini katika ukandaji hautumii nguvu...
Read more

AZANIA FRESH MAFUTA BORA YA KUPIKIA.

Azania Fresh Gold Cooking Oil ndio mafuta pekee ya kupikia kutoka Azaniagroup yaliyokidhi viwango na kujali afya mtumiaji. Mafuta ya Azania fresh Gold Cooking Oil yamechunjwa mara tatu zaidi na haya lehemu kwa ajili ya ulinzi wa afya yako.Mafuta kutoka Azania yanapatikana Tanzania nzima kuanzia kwenye Mall,Supermarket na Mini Supermarket na Duka za Jumla na...
Read more

AZANIA SUPER POWER UNGA WA UHAKIKA KUKUPA MIKATE YA AINA ZOTE.

Azania Super Power ndio unga wa ngano namba 1 nchini Tanzania kwa matumizi ya mikate na kukupa matokeo sahihi na kwa uhakika. Kwa miaka na miaka sasa tangu kampuni ya Azaniagroup waanze fanya uzalishaji wa Unga wa ngano wa Super power umekuwa pendwa kwa watumiaji wa bakery na hata wale midogo wanaoanza biashara kwa sababu...
Read more
Uongozi wa Azaniagroup unawatakia Watanzania wote Jumma Kareem na kuendelea kufanya kwa bidii kujenga Taifa na miundombinu ya Taifa letu..
Read more

Azania Supa Star

Azania Supa Star ni sabuni ya mche inayozalishwa na kampuni ya Mikoani Edible LTD. Kwa miaka kadhaa imekuwa sabuni namba moja na pendwa kwa watanzania inayokidhi mahitaji na kuweka nguo safi vilevile ni sabuni inayoweza kutumika kwa matumizi zaidi mawili kufulia na hata kuogea.Tumia sasa sabuni ya Supa Star toka Azania kwa matumizi ya uhakika...
Read more

RAHISI KATIKA UKANDAJI UNGA WA NGANO KUTOKA AZANIA.

Unga wa Ngano toka azania kwa matokeo ya uhakika na haraka laini katika ukandaji na uhakika kukupa matokeo sahihi katika mapishi yako….
Read more