e-Mail : info@azaniagroup.company
Call Us : 0710 111 112
Blog

Azania Kwenye Mwanamke Fundi wa Futari.

Meneja Masoko Azaniagroup Mr.Joel Laiser aendelea kuipeperusha bendera ya Azania katika msimu wa Mwanamke Fundi wa Futari na hapa akiwa ndani ya Channel 10 akiongea na waandishi wa Habari juu ya uwepo wa Azaniagroup katika Sherehe za Mwanamke fundi wa Futari Tanzania ambapo kilele chake kitafanyika katika Viwanja vya Gongolamboto.