King Limau Nguvu ya Usafi.
Kampuni ya Azaniagroup katika kugusa Watanzania wote na kuweza kuwapatia bidhaa za uhakika King limau ni sabuni ya kipande ya grm 500 inayopatikana katika katika maduka ya jumla na rejareja na ambayo inakidhi mahitaji ya Watanzania wote.King limau grm 500 sasa inapatikana Tanzania nzima kwa jumla na rejareja.
Unga wa ngano kutoka Azania HBF ( HOME BAKING FLOUR ) ndio unga wa ngano special kwa ajili ya matumizi ya mjumbani na kwa mapishi yanakuwa yahusisha familia HBF toka azania itakupatia matokeo sahihi na ya uhakika.Unga wa ngano wa HBF toka azania umeboreshwa kwenye muonekano wake na pia hata laini katika ukandaji hautumii nguvu...
AZANIA FRESH MAFUTA BORA YA KUPIKIA.
Azania Fresh Gold Cooking Oil ndio mafuta pekee ya kupikia kutoka Azaniagroup yaliyokidhi viwango na kujali afya mtumiaji. Mafuta ya Azania fresh Gold Cooking Oil yamechunjwa mara tatu zaidi na haya lehemu kwa ajili ya ulinzi wa afya yako.Mafuta kutoka Azania yanapatikana Tanzania nzima kuanzia kwenye Mall,Supermarket na Mini Supermarket na Duka za Jumla na...
AZANIA SUPER POWER UNGA WA UHAKIKA KUKUPA MIKATE YA AINA ZOTE.
Azania Super Power ndio unga wa ngano namba 1 nchini Tanzania kwa matumizi ya mikate na kukupa matokeo sahihi na kwa uhakika. Kwa miaka na miaka sasa tangu kampuni ya Azaniagroup waanze fanya uzalishaji wa Unga wa ngano wa Super power umekuwa pendwa kwa watumiaji wa bakery na hata wale midogo wanaoanza biashara kwa sababu...
Azania Supa Star
Azania Supa Star ni sabuni ya mche inayozalishwa na kampuni ya Mikoani Edible LTD. Kwa miaka kadhaa imekuwa sabuni namba moja na pendwa kwa watanzania inayokidhi mahitaji na kuweka nguo safi vilevile ni sabuni inayoweza kutumika kwa matumizi zaidi mawili kufulia na hata kuogea.Tumia sasa sabuni ya Supa Star toka Azania kwa matumizi ya uhakika...
RAHISI KATIKA UKANDAJI UNGA WA NGANO KUTOKA AZANIA.
Unga wa Ngano toka azania kwa matokeo ya uhakika na haraka laini katika ukandaji na uhakika kukupa matokeo sahihi katika mapishi yako….
Chocolate Cake kwa kutumia Unga wako bora wa Azania
MAHITAJI
Unga uliyotayarishwa tayari kwa kupikwa (pakiti moja – 500g)
Mayai matatu
Mafuta ya kupikia 80ml
Maji safi 200ml
Jinsi ya kupika chapati kwa kutumia unga wako bora wa AZANIA
Unga wa ngano (plain flour 1/2 of kilo)
Siagi (butter vijiko 2 vya chakula)
Yai (egg 1)
Chumvi (1/2 ya kijiko cha chai)
Hiliki (ground cardamon 1/4 ya kijiko cha chai)
Maji ya uvuguvugu
How to make bread using the Azania Flour
Organic food consumption is rapidly increasing. The heightened interest in the global environment and a willingness to look